Serikali ya Tanzania Yatangaza kulipa Madeni ya Wafanyakazi Mwishoni February 2018, Yatoa Majina ya Wanaostahili kulipwa

Post Reply
RealityKing
Senior Expert Member
Reactions: 26
Posts: 173
Joined: 8 years ago

#1

Serikali kupitia waziri Mpango imetangaza na kutoa majina ya wafanyakazi wanaostahili kulipwa madai yao mbalimbali. Kwa mjibu wa msemaji huyo, madai hayo ya wafanyakazi mengine yamedumu kwa zaidi ya miaka 10.

Haya ndiyo majina ya watakaolipwa: http://www.mof.go.tz/docs/news/WANAOSTA ... 0MADAI.pdf


Sikiliza:

0
Post Reply

Return to “Community Hub”

  • Information
  • Who is online

    Users browsing this forum: No registered users and 1 guest