Siku moja baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye kupokea taarifa ya tume aliyoiunda kuchunguza kile kilichodaiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda kuvamia studio za Clouds TV akiwa na askari wenye bunduki kwa nia ya kushinikiza habari ya kashfa iliyomhusu Askofu Gwajima kurushwa, Nape alienguliwa nafasi ya uwaziri.
Kuenguliwa kwa Waziri Nape kulifutia baada ya Rais John Pombe Magufuli kufanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri na kupelekea nafasi ya Nape kuchukuliwa na Dr. Harrison George Mwakyembe. Kitendo cha Nape Moses Nnauye kufukuzwa uwaziri kinahusishwa moja kwa moja na dhamira yake na nia yake ya kuunda tume ya kuchunguza kilichotokea kutokana na habari zilizotapakaa kuhusu mkuu wa mkoa kuvamia katika studio za Clouds TV, huku akiahidi kufikisha uchunguzi huo ngazi za juu kwa hatua zaidi, ikiwemo ofisi ya Rais.
Nape Nnauye alikumbana na kashikashi kadhaa Machi 23, 2017, ikiwemo madai ya kutishiwa bastola na mtu anayedaiwa kuwa ni askari kanzu, wakati alipotaka kuongea na waandishi wa habari muda mchache baada ya taarifa ya Rais Magufuli kufanya mabadiliko ya uongozi katika wizara aliyokuwa akiiongoza.
Habari zaidi:
- http://www.msn.com/en-za/news/world/tan ... spartanntp
- http://www.bbc.com/news/live/world-africa-39261557
- http://www.dailymail.co.uk/wires/afp/ar ... usion.html
Updates:
Nape Nnauye ametweet video ya wimbo uliobeba maudhui "Haki huinua taifa", ambamo moja ya waimbaji katika video hiyo ni Rais John Pombe Magufuli:
-
- Active Topics
-
-
- by Eli 2 days ago Re: What is in Your Mind? View the latest post Replies 689 Views 278858
- by Eli 4 days ago Iran Launches Retaliatory Attack Against Israel, and Israel Retaliates by Attacking Iranian Isfahan Millitary Base View the latest post Replies 28 Views 953
- by Eli 5 days ago All in One: YouTube, TED, X, Facebook and Instagram Reels, Videos, Images and Text Posts View the latest post Replies 319 Views 13869
- by Eli 1 week ago Python Packages for Scientific Computing View the latest post Replies 8 Views 7362
- by Eli 1 week ago Dunia Yetu: Building Tanzania's Digital Future Together View the latest post Replies 5 Views 1904
- by Eli 1 week ago Russia Invades Ukraine View the latest post Replies 646 Views 215269
- by Eli 1 week ago Programmatically Move Files from One Folder to Another View the latest post Replies 6 Views 1458
- by Eli 2 weeks ago Collection of Greatest Christian Hymns of all Times View the latest post Replies 33 Views 48361
- by Eli 2 weeks ago What is Retrieval-Augmented Generation (RAG)? View the latest post Replies 2 Views 372
- by Eli 2 weeks ago Chat With ChatGPT - An Interactive Conversational AI View the latest post Replies 22 Views 29111
-
Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye Afukuzwa Uwaziri
- Attachments
-
- JPM_sacks_Nape.jpg
- (64 KiB) Not downloaded yet
- JPM_sacks_Nape.jpg
- (64 KiB) Not downloaded yet
-
- Information
-
Who is online
Users browsing this forum: No registered users and 9 guests